Tag: jinsi ya kupata followers

Pata huduma za Website, SEO, Social Media Marketing na nyinginezo nyingi kutoka Rednet Technologies Branding vs Marketing. Kipi ni kipi? ukweli kuhusu 'Propaganda' Jinsi ya kutengeneza Attention Mtandaoni.

Jinsi ya Kutengeneza Attention Mtandaoni

Hivi unajua kwamba aliyeshinda vita vya 2 vya Dunia ni Urusi, ndiye aliyepigana na Hitler kwa ground. LAKINI, Leo hii kila mtu anaongelea Bomu la Nyuklia la Marekani lililodondoshwa Hiroshima na Nagasaki. Unajua kwanini? Kwa sababu watu wanapenda ATTENTION duniani na leo hapa utafahamu kiundani kabisa jinsi ya kutengeneza attention mtandaoni ili uweze kunasa wateja zaidi.

Marekani ni mtaalamu haswa kwenye hilo la kutengeneza attention na kusambaza propaganda zenye manufaa ya nchi yake. Jamaa wamefanikiwa kuujaza Ulimwengu “ukweli wao” kwamba lile Bomu la Nyuklia ndo limeipa ushindi taifa hilo na kwamba kwanzia hapo wao ndo wababe duniani na hakuna mwingine. Ila nyuma ya pazia Urusi ndiye anayemiliki Nyuklia nyingi zaidi.

Kujitangazia Ushindi tu, tayari alishaanza kuteka ATTENTION duniani na mataifa mengi yalianza kuvutika katika Silaha, Siasa, Utamaduni na Biashara zingine za Kimarekani. Leo hii Marekani ndo nchi inayosifika kuuza silaha zaidi duniani, Makampuni makubwa karibu yote yapo USA, Microsoft, Google, Meta, Yahoo, Space X nakadhalika.

Marekani ndo nchi inayotambulika kwa mifumo bora ya Kidemokrasia duniani, na mambo kedekede tayari unayajua kuhusu hao jamaa. Unadhani Marekani alipata wapi sifa zote hizo? Kwamba Urusi hana huo ubavu wa kuuza silaha au teknolojia za kisasa? Jinsi ya kutengeneza attention mtandaoni is the damn strategy they rely on.

Kwenye Biashara Attention inatengenezwa vipi?

Kwenye biashara Mtandaoni hali ipo hivyo hivyo. Ushindani ni mkali mno kila siku. Ni vita. Mtandao wa Internet Live Stat unaonyesha kuwepo na websites zaidi ya Bilioni 1.9 mpaka sasa duniani. Hebu niambie unachomokaje katikati ya vurugu lote hilo kama hujajua jinsi ya kutengeneza ATTENTION? Leo hii wewe upo hapa kwenye tovuti yetu kwa sababu umeona kuna uwezekano ukaweza kuimarisha biashara yako mtandaoni kwa kutengeneza attention fulani, si ndio?

Utaniuliza; “Sasa Faustine, nawezaje kutengeneza hio ATTENTION ili niweze kusurvive huko mtandaoni?” Zipo njia nyingi, za halali na zile zisizo halali. Hapa tutaongelea zile za halali tu. Habari za kupost utupu, vichupi na makalio hapa hazipo.

Kuijuia Google leo ndo mchongo. Binafsi ningepata nafasi ya kurudi nyuma na kumshauri Faustine wa miaka 15 enzi zile, ningemshauri atie nguvu sana kwenye kuijua jinsi Google inavyofanya kazi na namna anaweza kuitumia kukuza biashara na kunasa wateja zaidi.

Leo hii unaweza kutengeneza ATTENTION ya Biashara yako kule GOOGLE kwa kuhakikisha mtu akitafuta chochote kinachohusiana na bidhaa/huduma unazozitoa kwenye biashara yako basi anakipata mara moja na anakipata kwako chap. Hii inafanyika kwa uzuri kupitia Huduma za SEO (Search Engine Optimization).

Hivi si unajua, kwa siku 1 tu huwa kunafanyika matafuto zaidi ya bilioni 3.5 kule google. Sasa kwanini bidhaa/huduma zako tukizitafuta google kule hatukupati? Kama jibu la hilo swali linakusumbua, wala usiwe na wasiwasi tena, sekunde chache zijazo utakwenda kujua cha kufanya.

Kama unatamani kutengeneza ATTENTION kule Google mpaka ifike mahali mtu akisearch kuhusu bidhaa/huduma zako akupate haraka, basi chukua SIRI hizi hapa. Leo hapa utaziona siri (4) tu;

1. Tengeneza website yako na hakikisha inafanya kazi vizuri na ina load faster. Kwanini website? Kwa sababu ni kupitia website unaweza kutengeneza maudhui mengi ndani ya chanzo kimoja, ukafanya uchambuzi kwa kina na kuelezea kwa mapana kuhusu Faida za bidhaa/huduma zako, Mbinu, Jinsi ya kutumia na taarifa zingine. Hili pia unaweza kulifanya kupitia chaneli yako ya YouTube.

2. Andika maudhui ya kutosha kuhusu Faida za bidhaa/Huduma zako, Jinsi ya kuzitumia, Jinsi ya kupambana na Changamoto, Mbinu za kutumia bidhaa/huduma hizo kwa usahihi, Madhara ya Kutotumia bidhaa/huduma zako n.k Umeona hayo maneno hayo yaliyotumika hapo? Hayo yanaitwa Keywords.

3. Hakikisha unatumia keywords nyingi zinazohusu bidhaa/huduma zako ikiwemo JINA LA BIDHAA/HUDUMA hio. Kwenye keywords hapo ndipo Google hukusanya taarifa na kuzihifadhi kwenye database yake, tayari kwa watu kupata majibu pale watakapotafuta kuhusu bidhaa/huduma hio. Ukiweza kutumia Google kama jukwaa la biashara utafaidi sana biashara yako inapokuwa mtandaoni.

4. Ambatanisha Namba yako inayopatikana katika simu za Kawaida na WhatsApp katika makala unazozichapisha kwenye website yako na mitandao yako ya Kijamii. Hio namba yako ya simu ni muhimu sana iwe hewani muda wote. Hakikisha muda wote ukitafutwa unapatikana. Hapa ndo utajua sasa kwanini Mteja achague kufanya kazi na wewe na sio mtu mwingine.

Ukifanya hivyo, utamtengenezea mteja wako mazingira ya kukupata moja kwa moja pale atakapofikwa na uhitaji wa huduma/bidhaa zako atakazoziona huko Mtandaoni. WhatsApp kupitia Status zako unaweza kuchapisha tips, ushauri, faida nk za bidhaa/huduma zako kila siku.

Sasa, tuishie hapo kwa leo, au unasemaje ndugu yangu?

Anyway, ngoja nisikuache bure, muendelezo wa SIR hizo tayari nimeuweka kwenye eBOOK yako MPYA na BORA ya SEO ambayo nimekuandalia. eBook hio inaitwa TEKNOLOJIA YA SEO; JINSI INAIFANYA BIASHARA YAKO KUWA NA SUMAKU MTANDAONI. Katika Kitabu hiko nimekuwekea SIRI 15 tayari kabisa kukufunulia wewe jinsi SEO inavyofanya kazi na namna unaweza kuitumia kukuletea manufaa zaidi kila siku. Hi ndio kitu unakihitaji sasa.

eBook hii itakusaidia kujua mambo yote muhimu kuhusu SEO, ni nini? inafanya kazi vipi? Faida zake ni zipi? Mambo yapi ya kuzingatia ili uifaidi? Kwanini hupati wateja mtandaoni? Yote hayo na mengine mengi yameelezwa kwa mapana kabisa kwenye eBook hio.

Kama nilivyokutaarifu, kuanzia ukurasa wa 27 wa eBook nimekueleza SIRI 15 ambazo zitakusaidia katika kutengeneza ATTENTION ya biashara yako mtandaoni kupitia SEO. SIRI 15!! Hizi siri wanaojiita wataalam wa SEO unaowafahamu hawawezi kukwambia kwa kuhofia kupoteza wateja ukiwemo wewe, ila mimi nimekwambia.

Utajiuliza, Kwanini nimekwambia? Kwa sababu mteja anayo haki ya kufahamu exactly kila kinachofanyika katika mradi wake. Mfano unapojenga nyumba ukikaa karibu na fundi wako utataka kujua bei ya misumari, aina za misumari, aina za milango, mbao, rangi ipi ipakwe wapi na kwanini, aina za kokoto, mchanga wa plasta ni upi na vitu kama hivyo.

Kadhalika katika SEO, ni muhimu ukafahamu kinachofanyika humo ndani, ili uweze kushiriki kufanya mwenyewe na kupata ujuzi wa ziada. Hii ndio sababu kitabu hiki kipo tayari kwa ajili yako leo.

Sasa ukitaka kuipata hii eBook njia ni hii hapa. Save namba yangu ya WhatsApp kwa kugusa namba hii hapa, 0765834754 Kisha nitumie text yenye jina lako ili niweze kukutumia eBook hio kwa WhatsApp mara moja. Kwa sasa nitaitoa eBook EXCLUSIVELY kwa watu 20 tu.

Hata hivyo eBook yetu hii sio kila mtu ataipata. Wataoweza kuipata eBook hio ni wale tu;

1. Waliopo kwenye contact list yetu ya WhatsApp. Kuingia kwenye list hio save namba yetu hii hapa 0765834754

2. eBook itatoka rasmi Usiku wa kuamkia PASAKA kwa gharama ya shilingi 50,000/-. Lakini leo hii unapouona ujumbe huu, eBook naitoa EXCLUSIVELY kwa shilingi 15,000/- tu.

Hii OFA ni kwa watu 20 tu watakaokuwa wakwanza kulipia. Baada ya hapo OFA itafungwa. Hivyo, ndugu changamka.

LIPA Sasa hivi sh 15,000/- kupitia LIPA NAMBA Yetu ya M-PESA hii hapa 5432715 au scan QR Code unayoiona hapa. Ukishafanya malipo njoo WhatsApp na screenshot ya muamala na hapo hapo utapata eBook yako uanze kuvuta wateja kwa kutumia SIRI za Ajabu za SEO katika Mtandao wa Google.

jinsi ya kutengeneza attention mtandaoni

Kumbuka Ofa ni EXCLUSIVELY kwa watu 20 tu wa kwanza kulipia. Baada ya hapo eBook itarudi bei yake halisi ya sh 50,000/-.

Kuna mtu aliwahi kuliuliza, “Sasa bro, kwanini unilipishe kufanya SEO wakati kutumia Google ni BURE kabisa?” Ungekuwa wewe ungemjibuje apo?

Sikia nikwambie kitu, Ukiona unapewa mchongo wa bure basi jua wewe ndo bidhaa hapo. Ndo ukweli huo.

Kutumia Google ni BURE. Kutumia Insta, Facebook, WhatsApp na mitandao mingine ya kijamii pia ni BURE kabisa. Kwanini? Kwa sababu kwenye BURE ndo kuna utajiri umejificha hapo.

Umeelewa hapo mchezo unavyochezwa. So nakupa SIRI hii hapa; Toa maudhui yatakayotoa majibu ya changamoto BURE yawafikie watu wengi, wachuje, wachache wawe wateja wa bidhaa/huduma zako. Njoo WhatsApp sasa ufahamu zaidi kuhusu SEO na Tech kwa namba hii 0765834754.

Unatamani ujumbe huu umfikie rafiki yako wa karibu? Umejifunza nini leo katika jinsi ya kutengeneza attention mtandaoni ili uweze kunasa wateja zaidi. Unaweza kushare makala hii kwa rafiki, ndugu, boss au yeyote unayehisi anahitaji kusikia habari hii. Ni BUREE kabisa, hivyo, sambaza, uliza na comment ili ufahamu zaidi.

Cheers.