Category: Business Updates

simu za michongo Faida za kutumia Google kama Jukwaa la biashara yako.

FAIDA ZA KUTUMIA GOOGLE KAMA JUKWAA LA BIASHARA YAKO

Je, unaamini kwamba matumizi sahihi ya huduma za internet na mitandao ya kijamii yana uwezo wa kukurahisishia huduma/bidhaa zako zikapatikana kirahisi na wateja wako wakiwa popote duniani? Leo nataka nikupe stori kuhusu Faida za kutumia Google kama Jukwaa la biashara yako.

Tizama hapa, Siku moja asubuhi kabisa ya mwezi April mwaka huu 2022 nikiwa natoka home naelekea ofisini nikapigiwa simu, kutizama ni namba ngeni, nikatafuta utulivu kisha nikapokea;

Mimi: Hello, Habari za asubuhi!

Jamaa: Salama Faustine, I hope uko poa, Bwana mimi ni fulani (jina kapuni) nimekupigia kwa sababu nahitaji website na ningependa ifanywe na kijana mzawa. Nafanya kazi katika shirika (jina kapuni) ambalo ni la kimataifa. Nilikua napitia google pale nikaona kampuni yenu ya Rednet Technologies na nikaona pia kumbe mnajishughulisha na haya mambo. Itawezekana si ndio?

Mimi: Bila shaka hilo linawezekana kabisa, unahitaji lini hii kazi yako iwe imekwisha?

Jamaa: Well, ndani ya wiki 3 ningependa iwe imekwisha, sasa nitampatia namba yako mwenzangu yupo pale ofisini kwetu, yeye sasa atakupa maelezo ya kina. Lakini naomba kujua bei itakuwaje hapo (huku anacheka kwa ufupi)

Mimi: Gharama nitataja nikishajua requirements kaka, wala usiwe na shaka.

Baada ya kuwasiliana na huyo mwenzake akanirudia…

Jamaa: Faustine, naona mmeshaelewana, Sasa the reason tumekuja kwako ni kwasababu kuna mtu tulimpaga kazi ya kutengeneza hii website yetu, lakini hajawahi kutupa ushirikiano, kazi hajamaliza, changes hataki kufanya na tukimpigia simu harespond ndani ya muda, yani ana kiburi sana yule jamaa, kusema ukweli TUMEMCHOKA.

Mimi: (Kiukweli nilijiskia vibaya sana, ndugu zangu ule msemo wa “Mteja ni Mfalme” una maana kubwa sana hapa. Nikamwambia) Kaka, pole sana, utakavyokuwa unafanya kazi kwetu nakuahidi hio kadhia hutakutana nayo.

Jamaa: Kweli? Ok, turudi kwenye bei sasa, utatuchaji kiasi gani?

Mimi: Kwa nature ya Organization yenu hapo mpaka kazi inakamilika itacost 850,000/- tu.

Jamaa: Faustine, mbona bei ipo juu sana, tutaweza kufanya kazi kweli?

Mimi: Kaka, bei iko fair sana hio ukizingatia tutawatengenezea pia business emails BURE na kuwafanyia maintenance BURE kwa mwaka mzima. Anytime hapo mkitaka kufanya changes, tutazifanya BURE kabisa. Hapo unasemaje?

Jamaa: Hapo sio mbaya, walau naona dalili hautakuwa kama jamaa wa mwanzo. Ila bei bado hujashusha..

Mimi: Kaka, lipia 400k leo, baadae utalipa 250k, then finally tutakapomaliza kazi, utalipia 200k ambayo itakuwa imebaki. Hapo je?

Jamaa: Ok, Nataka na hio website pia iwe inapatikana mtu akisearch Google, ili wateja watupate kama sisi tulivyokupata wewe.

Mimi: Ahaa, hio sasa ni huduma nyingine, inaitwa Search Engine Optimization (SEO). Ndo inaiwezesha website kupatikana google.

Jamaa: Na hio utatuchaji au bei yake ndio inakuja na ya website direct?

Mimi: Hio gharama yake ni tofauti kaka.

Jamaa: Ambayo ni ngapi? Usinilalie bwana ndugu yangu.

Mimi: Hio kwa sababu ni kazi ya muendelezo, utakuwa unalipia kila mwezi, ambapo gharama yake ni 100,000/- tu.

Jamaa: sema Faustine mna bei nyie. Ehe niambie, kwenye hio laki 1 mtakuwa mnafanya nini na nini?

Mimi: Hapo tutakuwa tunakuandikia makala (blog posts) mbili kwa mwezi ambazo zitahusu shughuli mnazofanya, tutaweka picha, pamoja na kuzioptimize ili iwe rahisi kupatikana google mtu akiwa anatafuta taarifa zinazowahusu.

Jamaa: Faustine, hapo umeniweza. Basi wacha tuandae contract, halafu next week tutakuita ili tusign, kazi ianze mara moja. Ila usiniangushe bwana.

Mimi: Kaka wala usiwaze, tufanye kazi.

Basi Bwana baada ya simu hio ndio uhusiano ukajengwa na kazi ikaanza kama hivyo.

Na baada ya kazi hio kuisha, jamaa yetu aliweza kutuunganisha kwa watu wengine watano (5) ambao walitamani kupata huduma kama ambayo aliipata kutoka kwetu. Na hatimaye wamekuwa wateja wetu wa kudumu. Unadhani hao walivutiwa na nini? Fuatilia makala hii hapa kufahamu siri za utoaji huduma bora kwa wateja.

Unachoweza kujifunza ili uweze kuzipata Faida za kutumia Google kama Jukwaa la biashara yako.

Katika mazingira ya kazi, hasa huku mtandaoni ambapo mara nyingi tunakutana na watu tusiowafahamu (strangers) ni muhimu sana kuzingatia haya yafuatayo;

1. KAULI NJEMA

2. UAMINIFU

3. KUMJALI MTEJA na MAUMIVU YAKE (Mara kwa mara muulize kama anaridhika na huduma anazopata kutoka kwako na nini unaweza kufanya ili kazi yake ifanyike kwa ubora anaotarajia).

Kauli Njema zitakufunulia fursa nyingi na kukuletea wateja wengi sana huku mtandaoni, acha tabia ya kutukana, kudhalilisha au/na kudharau watu. Kumbuka teknolojia haisahau.

Uaminifu utajenga uhusiano mzuri na wa kudumu na mteja wako.

Kumjali mteja kutafanya azidi kukupa kazi nyingi zaidi mbeleni, na hata kukuunganisha kwa watu wake wengine anaowafahamu.

Siri ya kufanya kazi vizuri na mteja ipo kwenye hayo mambo matatu. Ukiyazingatia, hakika huwezi kufeli. Zaidi kama unahisi bado hujajua namna unaweza kushawishi mteja kwenye biashara yako fuatana na makala hii hapa tumekuandalia.

HABARI NJEMA KUELEKEA MSIMU WA SIKUKUU

Sasa kuelekea mwisho wa Mwaka tunakupa ZAWADI ya kuifikisha biashara yako mtandaoni na kukusanya wateja kutoka kila pembe ya nchi. Fungua website leo kwa 500,000/- tu (badala ya 850,000/-) upate na huduma ya SEO BURE (badala ya 100,000/- kwa mwezi) maintenance BURE mwaka mzima pamoja na Ushauri BURE kabisa. Hata hivyo, ZAWADI hii haitamfikia kila mtu. Zawadi hii ni kwa watu 10 tu wa mwanzo, na itadumu mpaka tar 10 December. Baada ya hapo tunakwenda likizo ya Christmas.. So kama unahitaji ZAWADI hii WAHI nafasi mapema ili pia uzipate Faida za kutumia Google kama Jukwaa la biashara yako.

OFA ya Msimu wa Sikukuu 2022Sherehe za Christmas na Mwaka Mpya Faida za kutumia Google kama Jukwaa la biashara yako.

Baada ya OFA hii ukihitaji website ni 850,000/-, huduma ya SEO ni 100,000/- kwa mwezi na pia tutafungua group la Whatsapp kwa yeyote atakayehitaji ushauri au atayehitaji kuuliza jambo lolote kuhusu Website, SEO, Social Media Marketing, Digital Marketing na Tech kwa ujumla wake. Kuingia kwenye group hilo itakugharimu 5,000/- tu kwa mwezi.

So ukiliona Tangazo hili, mtaarifu na mwenzako ambaye unahisi atahitaji kunufaika na ZAWADI hii.

Wewe kama unafanya biashara, basi kama unataka kufanya vizuri sokoni, hakikisha unajenga URAFIKI na wateja wako. Hii ni kwa sababu ni rahisi sana MTEJA kuwa RAFIKI yako kama utatengeneza UHUSIANO mzuri kati yenu. Hii ndio SIRI ambayo hakuna mtu atakwambia kirahisi.

Kufanya biashara mtandaoni ni Uwekezaji muhimu sana, na kwa maendeleo yaliyopo kwa sasa duniani, imekuwa ni rahisi mno kutumia huduma za Internet katika kuwafikia wateja popote walipo duniani.

Kuna mtu aliwahi kuniuliza, “Sasa nawezaje kutumia Internet kufanya biashara yangu?”

Jibu: Unaweza fanya haya yafuatayo ili uweze kupata Faida za kutumia Google kama Jukwaa la biashara yako.:

1. Tumia Website na mitandao ya kijamii kutoa elimu kuhusu bidhaa/huduma zako.

2. Tumia SEO ili kurahisisha maudhui yako yanapatikana kirahisi katika Google.

3. Fanya matangazo (Paid Ads/Sponsored Ads) ili kuwafikia wateja wengi kwa haraka.

4. Jifunze kuuza katika Maandishi (Copywriting). Jaribu kadiri unavyoweza.

5. Tumia WhatsApp yako vizuri kibiashara (Status, Broadcast, Groups n.k).

Ukiona haya yanakuwa magumu kwasababu upo busy au vinginevyo, usikubali sasa biashara yako ife/ishindwe kufanya vizuri mtandaoni.

Tafuta mtaalamu wa kufanya biashara mtandaoni, mpe targets zako, kubaliana nae katika malipo, kisha mpe kazi ili biashara yako izidi kupaa mtandaoni kwa sababu ni muhimu sana ukazipata hizi Faida za kutumia Google kama Jukwaa la biashara yako. Sio lazima kila kitu ukifanye wewe mwenyewe kwa sababu hakuna ajuaje kila kitu.

Ni mategemeo yangu umepata kitu kipya leo. Kumbuka ZAWADI yetu ya kufunga Mwaka inakwisha tarehe 10 December, halafu hii ni maalum kwa watu 10 tu watakaowahi kujinyakulia website zao.

Tutumie ujumbe sasa hivi au tuchek kupitia mawasiliano haya;

Call/WhatsApp: +255765834754

Email: info@rednet.co.tz

this is why you need backlink for your website

This is why you need backlinks for your website to rank higher and perform better on Google search appearances.

These backlinks are the links to your websites that are mentioned/found on other websites/platforms i.e LinkedIn, Facebook, Instagram, Twitter, Bbc, Aljazeera, government websites, and other organizational and private websites. Today we will learn why you need backlinks for your website to rank higher and perform better on Google search appearances. Get to the bottom of this article.

Why Backlinks?

  1. They give your website a higher Domain Authority: This is the status of Influence in Search Engines. The most influential websites/platforms (LinkedIn, Facebook, BBC, Rednet Technologies) have more Domain Authority than less effective websites.
the domain authority for your website

2. They rank higher your website in Search Engines: If your website has 20 quality backlinks, that means, there are 20 attractive links to your websites that were mentioned by other websites/platforms. That means your website will perform better than the one with 10 poor backlinks.

3. They give your website a Unique Identity: Considering the type of keywords you are using on your website, your backlinks will make sure that the website is very unique on Google Search Appearances. i.e If you have mechanical keywords, don’t expect to appear in food searches.

4. They increase traffic to your website; Since Backlinks are the referral points that other websites endorse for your website, it is likely to increase the number of visitors to your website. This is very powerful in doing #SEO intelligently.

5. Increase Customers for your Services/Products; The easy way of getting customers in Digital Infrastructures is through #SEO and specific Backlinks. Considering the previously mentioned advantages, backlinks will increase your customer base gradually but very surely.

How Do You Get Those Backlinks?

After knowing the advantages of Backlinks, you would want to know how to create them so as to get the benefits out of it asap. Here are a few of what you can do.

  1. Add Internal Links; Internal Links are the links that refer to the topic you’re discussing with the previous topics that you already published before in your older posts. These will give enough details to your visitors on different articles just inside your website.
  2. Add Outbound Links; These are the links coming from other websites that support your points in the article. This gives your readers points of reference, and more is very good in #SEO ranking. The outbound links provide citations to your visitors always. You need them.
  3. Ask other publishers to mention the links from your website in their publications. Here you create the links of your articles as Outbound links on other publishers’ websites. If your links appear in other websites’ content, potential referrals are created to rank it higher.
  4. Publish your articles on other platforms like Linkedin, Facebook, and Medium. If your article has more internal links and outbound links it will be great in Google Search Appearances and #SEO.
  5. Make sure the images that you’re using in your articles have “alt text and meta tags” details with the same words as your topic/keyphrases. This will improve the Image Search in #Google. You know how many images are doing fine in impression nowadays!
alt text and meta tags for your website

6. Update your Articles frequently: The new algorithm of google makes recent posts appear higher on search appearances than old posts. Also if you update your post google will count it as a new article. You want to do this.

Tools to consider

After doing everything that you read in today’s article, please do not forget to check how your website is doing in #SEO and Keyword performance. You can use tools like Google Search Console or Jetpack (for WordPress).

If you will get interested in improving your website in terms of building backlinks and doing SEO for it to perform better on Google Search, please contact me to get your website done today.

Also if you will like to send us a tip to motivate us to prepare great content for you, please use the code below.

Kwanini uwe na website ya biashara yako?

Do you have something to ask or comment on? Please share with me here in the comment section or contact me through the following details:

Call/Whatsapp: +255765834754

Email: info@rednet.co.tz

web: https://rednet.co.tz

D.R.C NDANI YA E.A.C, MFANYABIASHARA ANAFAIDIKA VIPI?

Hatimaye tar29 March Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ilipata kibali cha kuwa mwanajumuiya wa Afrika Mashariki (EAC) na mwezi July mwaka huo 2022 DRC iliingia rasmi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya kuwasilisha matakwa yote makao makuu ya jumuiya hio jijini Arusha. Hii ni baada ya kuendesha mchakato uliodumu kwa takriban miaka minne. Sasa DRC inapoingia ndani ya EAC mfanyabiashara anafaidika vipi?

DRC inakuwa mwanachama namba 7 wa EAC huku ikiwa ndio nchi kubwa zaidi kijiografia katika ukanda huo. Inasemekana DRC ndio nchi yenye rasilimali (madini, mafuta, misitu n.k) nyingi zaidi duniani. Pia nchi hio ina idadi ya watu takribani milioni 90 ambao ni mtaji muhimu kiuchumi.

MAMBO 10 USIYOYAJUA KUHUSU D.R.C:

Kukubalika kwa DRC kunamaanisha kwamba soko la Afrika Mashariki linatanuka na kuwafikia watu zaidi ya milioni 300 waishio ndani ya jumuiya hio tu, huku uchumi wa jumla ukiwa na thamani ya 250$ bilioni. Sasa DRC ina nini cha ziada usichokijua?

1. MIPAKA YA KIJIOGRAFIA:

Ikiwa ndio nchi ya pili kwa ukubwa wa jiografia barani, DRC inapakana na nchi zingine 9. Nchi hizo ni Angola, Burundi, Jumhuri ya Afrika ya Kati, Rwanda, Jamhuri ya Congo (Brazaville), Sudani Kusini, Uganda, Zambia na Tanzania. Muingiliano wa kibiashara ni mkubwa sana hapa.

Zaidi upande wa magharibi mwa jiji la Kinshasha inapakana na bahari ya Atlantiki. Sasa Kongo kupakana na nchi 9 na kuwa na ufukwe wa bahari ya Atlantiki kunaifanya iweze kutanua fursa kwa wafanyabiashara kupitisha mali kwenda nchi nyingi zaidi barani na hata nje ya bara.

DRC na mipaka yake. Milango ya biashara za kimataifa kwa EAC.

2. KUHUSU VIVUTIO VYA UTALII:

Mbuga ya wanyama kongwe zaidi barani ipo DRC, inaitwa Virunga. Hapo utawakuta wale Sokwe wakubwa (Gorillas), simba na tembo. Lakini mbuga hii ipo kwnye tishio la kutoweka kwa sababu kuna mafuta na kampuni ya Uingereza ya Soco tayari imetia timu kuanza kuchimba mafuta hapo mbugani.

Hawa gorilla ni kivutio kizuri sana cha utalii lakini miaka ya hivi karibuni wamekuwa adimu na kutokana na shughuli za mwanadamu, wanyama hawa wapo kwnye tishio la kutoweka kabisa. Je, DRC kuingia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kutadhibiti hatari ya sokwe hawa kutoweka?

Kuhusu namna utalii unaweza kuleta manufaa katika biashara tafadhali fuatana na makala hii hapa chini:

3. KUHUSU MTANDAO WA BARABARA NA MIUNDOMBINU:

Ni 1.8% tu ya barabara nchini DRC ndio ina kiwango cha lami, huku chini ya 10% ya nyumba za makazi ndio zina umeme. Hii ni hali mbaya sana katika kukuza uchumi wa Taifa. Hata hivyo Benki ya Dunia imetangaza kifurushi za 1$ bilioni kwa ajili ya miundombinu ya DRC.

Moja kati ya vitu vinavyorudisha nyuma juhudi za wajasiriamali na mashirika kuwekeza nchini DRC ni maendeleo duni ya miundombinu. Ukizingatia ukubwa wa nchi hio, imekuwa ni nafuu kusafiri kwa njia ya anga kuliko barabara. Sasa @jumuiya itachangia vipi maendeleo ya miundombinu?

4. BIASHARA ZA NJE YA NCHI (EXPORTS):

Muziki wa DRC ndio mali inayouzwa zaidi nje ya nchi (export). Kuanzia miaka ya 90 muziki wa Bolingo ndio ulikua unasikilizwa na kupendwa zaidi bara zima la Afrika. Ndio maana wasanii kama Fally Ipupa na Koffi Olomide ni matajiri sana. Madini na malighafi zingine zote chali.

5. LUGHA INAYOTUMIKA ZAIDI:

Jiji la Kinshasa ni la pili kwa matumizi ya lugha ya Kifaransa likitanguliwa na jiji la Paris. Yaani Wakongo hawa wanaongea kifaransa zaidi kuliko hata miji ya nchini Ufaransa. Hata hivyo hii inachangiwa na idadi ya watu wanaoishi kwenye jiji hilo, watu milioni 10 mchezo!

Ukiacha Kifaransa raia wa Kongo pia wanazungumza lugha zingine kama Kilingala, Kiingereza, Kiswahili na lugha za makabila asilia. Hivyo ukiwa kama mfanyabiashara na moja kati ya lugha tajwa unazifahamu vyema basi nafasi ni yako kuingia DRC na kutanua biashara zako.

6. KUHUSU UGONJWA WA EBOLA:

Kwamba kupata Ebola nchini DRC ni rahisi kama kupata mafua ukiwa sehemu nyingine? HAPANA. Baada ya ugonjwa huo kufumuka mwaka 1995 na kuua watu zaidi ya 200, milipuko mingine ya ugonjwa huo imekuwa ikidhibitiwa kwa kiwango kikubwa. Hivyo Congo ni salama.

7. KUHUSU MADINI:

Lile bomu la atomiki lililodondoshwa kwenye miji ya Hiroshima na Nagasaki katika WWII lilitengenezwa kwa madini ya Uranium kutoka mgodi wa Shinkolobwe, mkoani Katanga nchini DRC. Hata hivyo mgodi huo ulifungwa mwaka 2004 kutokana na kuishiwa madini ukiiacha DRC patupu.

Kongo imenyonywa sana katika madini yake. Hali kadhalika nchi zingine katika Jumuiya zimepitia hali hio. Hivyo itakapowekwa sera ya pamoja ya kulinda na kusimamia rasilimali zilizopo ndani ya Jumuiya, bila shaka madini na rasilimali ambazo zipo DRC zitakuwa na manufaa sana.

8. HISTORIA YA UNYONYAJI:

Mfalme Leopold II wa Ubelgiji alijitangazia Kongo kuwa mali yake binafsi kuanzia mwaka 1870. Koloni hilo ndio lilikua mali binafsi kubwa zaidi kuwahi kumilikiwa na mtu mmoja kwenye historia. Umiliki huo ulisababisha vifo vya watu milioni10. Huu ndio mwanzo wa nchi kuharibika.

Mfalme Leopold II aliagiza watu kukusanya zao la mpira ambalo kwa kipindi hiko ndio lilikua zao bora zaidi la kibiashara. Wale walioshindwa kukusanya zao hilo kama kodi waliadhibiwa kwa kunyimwa chakula na kukatwa mikono yao. Ukatili huo ulikua mbaya sana dhidi ya ubinaadam.

9. HALI YA USALAMA NA VITA:

DRC imekuwa ikikumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe na migogoro isiyokwisha ambayo imepelekea vifo vya watu takriban milioni 6. Hali hio ya vita visivyokwisha imepewa jina la “Vita vya Dunia vya Afrika”.

Vita hivyo kwa sehemu kubwa vimekuwa vikisababishwa na vikundi fulani (kampuni, mashirika na raia wa kawaida) kugombania rasilimali katika eneo fulani. Huyu anataka kuchimba, raia wanataka kunufaika. Je, DRC kuingia kwenye @jumuiya itasaidia kumaliza janga la vita visivyokwisha?

10. KUHUSU MTO CONGO:

Ukiwa na urefu wa kilomita 4,700, mto Congo ndio mto mrefu wa pili barani Afrika ukitanguliwa na mto Nile. Pia huo ndio mto wenye kina kirefu zaidi duniani. Cha kufurahisha zaidi, Mto Congo na Mto Nile yote inapatikana katika EAC. Inakupa picha gani hii kiuchumi?

Je, EAC itaweza kuzalisha umeme wa pamoja kupitia sehemu za mto huo? Je shughuli za kiuchumi kama uvuvi, usafiri, utalii biashara ya mazao ya misitu zitaweza vipi kusimamiwa na Jumuiya kuhakikisha faida zinarudi kwa wanachi wa Kongo na wa jumuiya nzima kiujumla?

ZIADA: MSITU WA CONGO

Msitu wa pili kwa ukubwa duniani, msitu wa Congo unapatikana nchini DRC. Hata hivyo msitu huo ni mkubwa kiasi kwamba umeingia kwenye nchi zingine kama Cameroon, Jamhuri ya Afrika Ya Kati, Jamhuri ya Congo(Brazaville), Guinea ya Ikweta na Gabon. Msitu huu ni utajiri mtupu.

msitu wa mvua wa Congo
Msitu wa Congo

Katika msitu huo kuna fursa nyingi zikiwamo biashara ya magogo, madawa ya kutibu watu, mazao na wanyama, mbao, karatasi na bidhaa zote zitokanazo na misitu. Ukiwa kama mfanyabiashara ambaye sasa una uhuru wa kwenda kuwekeza DRC kirahisi, utaitumiaje fursa hii?

Sasa hayo ni baadhi ya mambo ambayo pengine ulikua huyafahamu kuhusu DRC. Mambo hayo kama yakifanyiwa kazi ipasavyo ndani ya @jumuiya basi ni wazi kutapunguza hali ya umasikini na kuimarisha amani kwa watu wa Kongo na kuimarisha uchumi wa Jumuiya nzima. Mapema mwaka 2021 jumuiya ya nchi za Afrika kwa kauli moja ilianzisha eneo huru la biashara barani (AfCFTA) ambapo nchi wanachama wanaweza kufanya biashara kwa uhuru bila ya vizuizi vya mipakani. Zaidi soma hapa chini

Jumuiya hii inatoa uhuru kwa wanachi wake kuishi na kufanya biashara popote ndani ya nchi wanachama. Jambo hili linatoa fursa kwa Wajasiriamali wa aina zote kuzurura na kutafuta masoko yao kirahisi. Ukiweza vema kutumia majukwaaa ya kimtandao kama websites, mitandao ya kijamii ujue unayo nafasi ya kuwafikia watu milioni 300 waishio ndani ya Afrika Mashariki. Sasa tuambie wewe mtu wa Teknolojia, website designer, mtaalam wa kutengeneza android app, mkulima, engineer nk, unataka ufaidike vipi hapa? Tuambie..

Je umependezwa na makala yetu hii ya leo?

Unataka kufanya malipo kwa huduma zetu bila kuhofia makato ya miamala?

Sasa tumekuletea huduma ya LIPA NAMBA ya M-PESA (TILL NUMBER)5432715 ambapo unaweza kututumia TIP ya kutupongeza kwa kazi nzuri au Kulipia huduma unazozipata kutoka kwetu BILA MAKATO ya miamala.

Tumia LIPA NAMBA yetu muda wowote yaani 24/7.

M-PESA LIPA NAMBA
jinsi ya kuanzisha website

JINSI YA KUANZISHA WEBSITE

Japokuwa anafanya vizuri mno katika biashara ya kusambaza vifaa vya miundombinu ya maji (mabomba, koki, elbow n.k) huku akipata tenda nyingi kupitia mfumo wa TaNEPS, lakini alitamani sana jinsi ya kuanzisha website na kufikisha bidhaa zake kwa watu binafsi mbali na serikali na mashirika ya kimataifa ambayo amekuwa akifanya nayo kazi. Katika stori hii ya leo utashuhudia siri za kuzingatia jinsi ya kuanzisha website ili biashara yako izidi kushamiri huku mtandaoni. Makinika.

Sasa jamaa yetu huyu yuko busy sana na hio miradi yake kiasi kwamba hana muda wa kuandika makala kwenye mitandao au kupush hashtags au kutweet na kupost mara kwa mara kuhusu huduma anazotoa. Hata hivyo aliazimia kufanya kazi na watu binafsi, mahoteli, shule binafsi, hospitali n.k.

Huwa anazunguka nchi nzima akifanya kazi na serikali na mashirika ya kimataifa kuhakikisha miundombinu ya maji safi na salama inafika kila kijiji. So kwa nature ya kazi yake, tunaweza kusema jamaa hana Time Advantage ya kutumia mitandao ya kijamii ili watu binafsi waweze kumfahamu, kumuamini na kufanya nae kazi. Hata hivyo experience yake imemfanya aaminiwe na serikali pamoja na mashirika yanayotumia mfumo wa TaNEPS. LAKINI; Jamaa yetu huyu bado alitamani kufanya kazi na watu binafsi, afunge mabomba kwenye nyumba binafsi, hoteli, bar n.k hata hivyo bahati mbaya watu binafsi hawatumii mfumo wa TaNEPS katika kutafuta huduma/bidhaa wanazohitaji. So jamaa akafanyaje?

Mwaka 2018 akafungua ecommerce website ambayo baada ya mwaka mmoja website ile ilishindwa kumletea matunda yale aliyotarajia. Akaishia kusema, “Nilifunga website lakini haikuniingizia hata mia kwa mwaka mzima, nikaamua kuachana nayo.” Hii imeshawahi kukukuta wewe? tuambie kwenye comment hapo chini.

faida za teknolojia ya S.E.O katika biashara

Kama unajua uchungu wa kuwekeza na kuvuna hasara nadhani utakuwa umemuelewa jamaa hapo. So mwaka huu 2022 nikakutana na huyu jamaa yangu, anaitwa Steven (tumuite Stivu leo), akanieleza kuhusu kiu yake ya kufanya kazi na watu binafsi na namna alivyopata hasara ya website mwaka 2018.

Katika maongezi yetu alitamani kutumia Nguvu ya Intaneti na Mitandao ya kijamii ili aweze kufanikiwa katika kuwafikia watu binafsi ukizingatia jamaa yupogo busy na TaNEPS + kukusanya materials na kuzifikisha site hivyo kumfanya asiwe na muda na kuweka updates mitandaoni.

Ushauri huu utakufaa hata wewe, zingatia sana:

1. Hakikisha unafahamu ndani nje kuhusu soko la watu wenye njaa na huduma zako: Hapa Stivu ana advantage upande mmoja kwa kuwa tayari anaaminiwa na serikali na mashirika ya nje. Kimbembe ni watu binafsi. So unapaswa kuwajua wateja wako kwa kupost/kutweet kuhusu bidhaa/huduma zako na thamani unayoitoa kwa mteja pindi atakapoamua kufanya kazi na wewe ajue kabisa kwamba bidhaa/huduma yako itakwenda kumtatulia changamoto yake flani. Hii inapaswa kufanywa mara kwa mara ili kusudi kuchuja na kuwapata watu wanaokufuatilia (followers) na kuwafanya wakujue, wakuamini na baadaye wafanye kazi na wewe.

jinsi ya kuanzisha websiteumuhimu wa tehama

So hapa Stivu ali #FuataUshauri kwamba anapaswa kutafuta mtu wa kumsaidia kuhakikisha biashara yake inatengeneza ushawishi kwnye mitandao ya kijamii kwasababu yeye mwenyewe hawezi kufanya kila kitu afterall. Hii inaitwa LEVERAGING.

2. Hakikisha jina la biashara yako (Brand Name) ni rahisi kutamkika na kinahusiana na wateja wako:

Hapa kwa Stivu hakukua na shida, lakini kwako wewe inawezekana hujafahamu kuhusu hili. Imagine una mgahawa wa chakula halafu unakuta umeandikwa JOY ELECTRONICS. Imagine yani.

Hii kitu ukitaka kufanikiwa zaidi hakikisha Brand Name yako ipo clear from the beginning, hasa linapokuja swala la Online Business ambapo huku mtandaoni kuna makelele mengi mno. Sema kabisa JOY RESTAURANT (Food Providers in Arusha). Hii itakusaidia kukufanya uwe specific na ujulikane exactly unafanya biashara gani na unapatikana wapi kabla hata mtu hajaanza kujiuliza zaidi.

Hii pia inaipa biashara yako advantage pale mtu anapotaka kufika ofisini kwako kupitia Google Map. Mteja hasumbuki yani kuuliza uliza njiani au kuwa na hofu ya kupotea.

3. Fanya Kazi:

Hata kama tayari biashara yako imeshasimama physically, lakini kama unataka kuihamishia biashara hio mtandaoni; Huna budi kuwekeza muda wako katika kudadisi kuhusu Wateja, Washindani wako ni kina nani, wanafanya nini kufanikiwa kuteka masoko na wewe ufanye nini.

Hivyo, roughly ndani ya miezi 6 ya kwanza unatakiwa kuwekeza masaa 60 kwa wiki (wastani wa masaa 8 kwa siku) ili kuchunguza na kujua namna ya kuandika copies zitakazofanya bidhaa/huduma zako ziuzike mtandaoni. Copies hizo zinaweza kuwa ni makala, tweets, fliers etc.

jinsi ya kuanzisha websitejinsi ya kufanikiwa mtandaoniumuhimu wa tehamaasiyefanya kazi na asile

Ujuzi huu wa COPYWRITING ni muhimu sana na ukiwa tayari kujifunza huwezi kushindwa kuuweza. Hii ndio sumaku ya kunasa wateja huku mtandaoni sasa. Lazima uhakikishe unaandika kile ambacho mteja wako atakiadika akiwa anatafuta suluhisho la changamoto zake.

Kwenye maandishi yako maneno kama “Faida za Tehama”, “Kirefu cha TEHAMA”, “Jinsi ya kuwa na mwonekano mzuri”, “Jinsi ya kufanikiwa katika biashara ya chakula”, “Faida za website”, “mbinu za kutumia Mitandao ya kijamii”, “jinsi ya kuanzisha website”, “mbinu za kufanikiwa katika kilimo”, “nguo za bei nafuu”, “Ofa ya Sikukuu”, “Makosa 10 usiyotakiwa kufanya katika…” nakadhalika.

Ukitazama hapo utagundua maneno hayo ndio haswa huandikwa kwenye mitandao mbalimbali pale mtu anapotafuta kitu fulani, si ndio? Basi na wewe katika maandiko/copies zako hutakiwi kuyaacha kabisa kwa sababu ndo sumaku yenyewe hio.

4. Zifahamu hatua za awali za kufanya S.E.O:

Kwenye makala zetu zilizopita tumejadili kuhusu Teknolojia hii ya S.E.O inavyoweza kuimarisha biashara yako pindi pale mteja anapotafuta huduma kupitia mtandao wa Google. Pitia hapa kwenye tweet yetu kama ilikupita hii hapa chini.

Awali umeona aina za maneno ambayo unapaswa kuyatumia mara kwa mara katika maandiko yako ili kuwanasa wateja wengi zaidi huku mtandaoni. Katika S.E.O maneno hayo huirahisishia google katika kuchambua keywords na kuzipandisha juu pale mtu anapotafuta tarifa. Hivyo, website yenye keywords nyingi ndio huchaguliwa kirahisi katika mtandao wa google na kuwekwa juu ili mtu anapotafuta basi website hio inatokea kwenye nafasi za juu kabisa. Fikiria mtu ameandika “Jinsi ya kupika chakula kizuri cha ndizi” au “jinsi ya kuanzisha website” na mara links za website yako ya mgahawa wa chakula inatokea ya kwanza kabisa pale google. Inafurahisha eh?

Fahamu kwamba mtu hataandika jina la biashara yako pale google akiwa anatafuta suluhisho kwa changamoto zake. Watu hawajali kuhusu jina la website yako hata, watu wanajali kuhusu namna ya kutatua changamoto zao ndio maana ni rahisi sana mtu kuandika hizo keywords nilizokutajia mifano yake hapo awali na hayo maneno ndio haswa hutumika katika S.E.O kuinua website yako mtandaoni. Unahitaji kuyatumia sana maneno hayo katika website yako.

Kwa kifupi unaweza kufanya S.E.O kwa website ya biashara yako mtandaoni kwa Kuilocate kwenye Google Map, Kusajili akaunti za Google My Business na Search Console. Hii itaifanya website yako iweze kuwa-ranked na Google kwenye nafasi za juu pindi mtu atakapokuwa anatafuta huduma.

5. Fahamu kuwa kufanikiwa kupata watembeleaji wengi kwenye website yako (Organic Traffic) kunachukua muda (walau miezi 6 mpaka mwaka):

Katika muda huu unatakiwa ufanye kazi ya kuweka maudhui, kuandika Keywords zinazovutia wateja (copywriting inaingia hapa), kufanya maintenance ili kuhakikisha website yako ina-run kwa kasi mda wowote mtu akiifungua.

Pia ni muhimu kutengeneza Backlinks. Hizi ni links za website yako ambazo zinaatikana kwenye websites na majukwaa mengine ya mtandaoni mf: umeandika makala halafu unaenda kui-share ZoomTanzania, LinkedIn au unaweza kuomba wadau wako wakashare links zako kwenye accounts zao za twitter, medium, facebook au hata kwenye websites zao kama wanazo. Ndio maana tunasisitiza kujenga Business Relationships, yaani uwe na uhusiano mzuri na wafanyabiashara wenzako humu mtandaoni ndo utatoboa.

Kuhusu namna unavyoweza kuifanya website yako iweze kutembelewa na watu wengi zaidi tumeshakuandalia makala maalum hii hapa chini:

KUMBUKA:

Marekebisho ya website huwa hayaishagi daima. Hii ni kwa sababu Teknolojia inabadilika kwa kasi sana na wewe kama mfanyabiashara hutapenda kuona website yako inaonekana vilevile tangu mwaka juzi. Ndio maana unatakiwa kuzurura mtandaoni na kutizama website zingine uone ziko vipi na ujitathmini unawezaje kuhakikisha website yako inaonekana MPYA, bora na yenye kukidhi matakwa ya wateja wako muda wote ili ufahamu jinsi ya kuanzisha website kabla hujafanya makosa zaidi.

Fahamu tu kwamba hutengenezi website kwa ajili yako, HAPANA. Unatengenza website kwa ajili ya wateja wako wapate kitakachowasaidia. So hudumu kwa nguvu zako zote huku ukiongeza maarifa kila leo.

Website yako ndiyo RECEPTIONIST wa ofisini kwako. Hakikisha anapendeza na ana taarifa zote ambazo unataka mteja wako akija azipate.

We jiulize kwanini mara nyingi Wanaume hawakuwagi Receptionists?

Utagundua “Receptionist LAZIMA awe mrembo haswa. Lazima avutie mteja kutaka kuuliza jambo”.

Hiyo kwanzia leo nategemea utakuwa ukiitizama website yako kwa jicho la tofauti na iliyokuwa hapo kabla. Kufahamu Kwanini umiliki website ya biashara yako tafadhali fuatana na makala hii kwa kugusa alama ya link hapa chini:

Kupata website yako imara na mahsusi kwa ajili ya kuimarisha biashara yako huku mtandaoni tafadhali wasiliana nasi kwa kututumia ujumbe kupitia kitufe cha Whatsapp unachokiona kwenye ukurasa huu.

Unataka kufanya malipo kwa huduma zetu bila kuhofia makato ya miamala?

Tumia LIPA NAMBA yetu muda wowote yaani 24/7.

M-PESA LIPA NAMBA

MY NEW AGE SPECIAL PRESENT

On the 6th of this September, I celebrated 30 years of life, health, and countless blessings. I thank GOD for this gift of life and health. As a believer, I always live with this: “The LORD is my Shepherd, I lack nothing.”- Psalms 23:1. This is my new age special present only for you. Read to the bottom of this article to get it.

I was 21 years of age when I graduated from my high school education, a very ambitious young man. Motivated by that youth energy in me, I dreamt of an exciting future in my life, and working at million dollars tech company/organization was in my mind always.

I was just awarded a certificate of recognition from the Youth of the United Nations in Tanzania (YUNA) in 2010. You can imagine how energetic I was.

Unfortunately, things were very different out of school and college life. All that energy I had when I was a student just vanished. With all the certificates I had, they couldn’t help me get that dream job of “working for the million dollars tech company/organization”.

I was devastated, but I could not allow myself to be consumed by that mocking period of “failures”. 

In 2017 that little energy that was left in me triggered some thoughts of establishing an initiative for serving small businesses with a digital infrastructure that will help them store and monitor their daily business records in an online environment. I called that project BIMOS (Business Monitory System).

online business

That project carried the whole motivation I had toward reaching my dream. Unfortunately, the project was not successful as how it was intended due to numerous challenges we faced back then.

However, in the process, I realized the significance of working in a team, serving the clients with higher customer care standards, human capital(they call it “connections” nowadays), Business analysis, and Organization management.

That project gave me lessons that I could not get in school and college. The project was significant to get me and Rednet Technologies where we are today.

With my team at Rednet Technologies, we managed to launch a number of projects and digital services for our clients from 2017 until today. We learned and improved as we worked with various individuals and organizations on serving their business requirements.

It is about meeting the client’s satisfaction that you can succeed as an entrepreneur in your business .

Joyce (my sister-in-law)

The 9 years journey from when I was 21 was never easy. You can imagine, 9 years of growing up and gathering myself, studying and facing countless challenges, heartbroken and disappointments, processing the algorithms, testing the strategies, and exploring the vast world of technology and business. 

However, the journey is worth it. Since we launched our website in 2017, we have worked on it and set it to be an extremely informative platform with news and updates on tech and business, self-serving for a client to choose what service they want and when they can set a deadline, and a center of communication between Rednet and her clients. Now, look how satisfied and informative the website has become by clicking here.

NEW AGE PRESENT

After saying all that, today allow me present to you this present that will enhance your daily business operations in your office.

  1. Now have you thought of giving yourself the privilege to get your office Stationery materials like Printer Cartridges, Rim Papers, boxes of ball pens and so many items found on our Business Profile below just by the click of a button?
  2. Also, have you thought about how may serve yourself with comfortable online digital services like Website Design, Custom Software Development, and Social Media management just through your smartphone?
  3. How about making sure your business is appearing faster when someone is searching for the service/goods that you provide? In today’s world, you need to make sure that your online business is well optimized by using Search Engine Optimization (SEO) services. Here is how you can do it;

Well as your trusted supplier and ICT expert, we want to meet your business satisfaction by serving you without interrupting other daily schedules you may have. Moreover, we will expect the payments from you within 30 days from the delivery date. Isn’t this helpful to your business?

Now Click these links to see, experience the services and press your orders:

  1. https://rednet.co.tz/services/your-order/ (For Stationeries)
  2. https://rednet.co.tz/services/jihudumie-leo-kwa-huduma-bora-za-tehama-kutoka-kwetu/ (For Web Design)

If you work for an organization, an institution, or a private individual, this Present is Special for YOU. Contact us right now to get started receiving our services.

Get more details on our Business Profile by downloading it here.

Today, by the Grace of GOD, I am looking forward to challenging, rewarding, and exciting 10 years of this Third floor until 40 years of age and more years of serving our clients and exploring the world of technology and business.

focus on your plans and make sure you win.

Cheers.